mercredi 9 février 2011
filamu ya " kisa demu" tayari imemalizika
Siku zilizopita tuliwajulisha kama, baada ya kundi "Buja atr" kutowa filamu yao ya kwanza ijulikanayo kama "maisha kama game", kundi hilo kwa sasa likiongozwa na msani "Nduwimana Didier" wengi wanamutambua kama "Sugu Jay Tishio a.k.a Obama" piya na "sMC" a.k.a "Smart", limetowa ingine filamu ambayo imebeba jina la "KISA DEMU".
Kama munakumbuka, "kisa demu" ni nyimbo ya msanii huo "Sugu Jay", ambayo ameshirikisha msani "Bug Farious" ndani ya party 1, na "chanella " ndani ya party2. Kwa sasa ameamua kutowa filamu kutokana na jinsi mashabiki wake wamependa track hiyo. Sasa filamu hiyo ya "kisa dem" tayari wamemaliza kuitengeneza. siku zifwatazo itaingiya sokoni
Kama munakumbuka, "kisa demu" ni nyimbo ya msanii huo "Sugu Jay", ambayo ameshirikisha msani "Bug Farious" ndani ya party 1, na "chanella " ndani ya party2. Kwa sasa ameamua kutowa filamu kutokana na jinsi mashabiki wake wamependa track hiyo. Sasa filamu hiyo ya "kisa dem" tayari wamemaliza kuitengeneza. siku zifwatazo itaingiya sokoni
"LOLILO" bado angali kwenye game ya muziki
Msani " NIYONZIMA Nasor" akijulikana "LOLILO", baada tu ya kufanya vizuri kwenye mziki huu wa buja flava kupitiya album zake kama "Ishari" na zingine, na nyuma tu ya kuonekana amezimika baada ya kujielekeza uko inchini Belgium, msani LOLILO amerudi katika game hili. Apo ni baada ya kuweka kupitiya facebook baadhi ya nyimbo zake zikiwa ndani ya albam yake mpya ikijulikana kama "Mama". Ndani ya albam hiyo, tunakuta ndani nyimbo kama "Honney", "la vie", "my choise", "nuntorane" na zingine.
D Rop is back ........
Baada ya siku kadha amefanya uko nchini Tanzania, msani D Rop kutokeya kundi la wakali power amerudi kwa nguvu mpya katika game hili la Buja flava, apo ni baada tu ya kutowa nyimbo kadhaa, ikiwemo wimbo "Badoo" na zingine amefanya pekee yake chini ya maproducer tofauti apa Burundi.
Siku zilizopita, baada tu ya D Rop kujielekeza Tanzania, Jay Keyzo naye piya kuondoka, na msanii Black G kutangaza anaacha mziki ila nyuma akasema anarudi kwenye game, kundi hilo la "Wakali power" imeonekana kuzimika kabisa.
Ila tunaamini kuwa ujio wa D Rop utabadilisha mambo katika kundi hilo.
Siku zilizopita, baada tu ya D Rop kujielekeza Tanzania, Jay Keyzo naye piya kuondoka, na msanii Black G kutangaza anaacha mziki ila nyuma akasema anarudi kwenye game, kundi hilo la "Wakali power" imeonekana kuzimika kabisa.
Ila tunaamini kuwa ujio wa D Rop utabadilisha mambo katika kundi hilo.
mardi 8 février 2011
Sat B akafanya ajali.
Ni habari za kusikitisha.
Msanii Sat b ambaye siku zilizopita na hadi sasa anaonekana kutambulika sana katika mziki huu wa Buja flava apo ni baada tu ya kutowa albam yake ikibeba jina la " Inkuru y'ukuri", leo amepata ajali, apo ni wakati akiwa anabeba moto, akagongana na gari. Inasemekana ameumiya sana, ila baada tu ya iyo ajali, amejielekeza hospitali, ambapo amepata matibabu madogo na akaamuwa kuenda uguliya nyumbani. Tunamupa pole msani huo.
Tuwakumbushe kuwa, siku zilizopita, msanii huo Sat B amekuwa ametowa zingine nyimbo kadhaa, apo tunaweza taja kama wimbo "Bujumbura soo" ambayo inapendwa na wengi apa Bujumbura.
Msanii Sat b ambaye siku zilizopita na hadi sasa anaonekana kutambulika sana katika mziki huu wa Buja flava apo ni baada tu ya kutowa albam yake ikibeba jina la " Inkuru y'ukuri", leo amepata ajali, apo ni wakati akiwa anabeba moto, akagongana na gari. Inasemekana ameumiya sana, ila baada tu ya iyo ajali, amejielekeza hospitali, ambapo amepata matibabu madogo na akaamuwa kuenda uguliya nyumbani. Tunamupa pole msani huo.
Tuwakumbushe kuwa, siku zilizopita, msanii huo Sat B amekuwa ametowa zingine nyimbo kadhaa, apo tunaweza taja kama wimbo "Bujumbura soo" ambayo inapendwa na wengi apa Bujumbura.
Inscription à :
Commentaires (Atom)




