mardi 12 avril 2011

Albam ya Generencha tayari iko sokoni.

Msani " Generencha bidondo" ambao wengi wanamutambua apa burundi kupitiya nyimbo zake tu nyingi, na kupitiya concert  zake nyingi ambazo amefanya Burundi na ugenini, tayari albam yake ipo sokoni. Albam hiyo inabeba jina la " Asikutishe". Albam hiyo inapatikana pale Bwiza 6/61 kwa Alpha System Studio. Uzinduzi wa albam hiyo utakuwa apo " Iwabo wa bantu" ambapo pitashiriki wasani wengi kama Sat B, T Max, R Flo, Steven Sogo na wengine wengi .
Tuwakumbushe kuwa na msani Yoya iko anatayarisha albam yake ambayo atazinduwa siku zijazo.

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire