Sasa mziki wa Burundi umechukuwa ingine njia nzuri ambayo tumekuwa tukiitaji toka dhamani. Baada ya kuwajulisha albam " Inkuru y'ukuri" ya Sat B, na ya Giterolax, msanii " Emerysun" wengi wakimutambuwa kupitiya nyimbo zake kadha kama "genda umwire", "ihorere", "nyegera", " urukundo rw'amaso", na zingine nyingi ameshirikisha wasani tofauti, kwa sasa msani huo amemaliza albam yake ikibeba jina la " Iwacu" ambayo ametumika apo MA Production chini ya producer Amir. Albam hiyo inabeba nyimbo 10, na nyimbo 3 ambazo ameziita za bonus.
Albam hiyo itazinduliwa apo tarehe 6/5/2011 ku Havana, na tarehe 8/5/2011 apo Musée Vivant. Tuwakumbushe kuwa huo ni ungine msani, Amir anasaidiya baada ya msani Sat B. Pongezi sana kwa Amir.


Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire