mardi 10 janvier 2012

JC MATATA akumbukwa hapo tarehe 8 januari jijini Bujumbura,tarafani Kinama…

Ilikuwa tarehe 3/January/2011 ndipo JC MATATA ali iyaga dunia nchini Africa ya Kusini,tarehe 8/January/2012 inakuja kubaki kuwa kumbuku kwa raia wa KINAMA na hususani raia wa jiji kuu Bujumbura kwa ujumla.Tamasha ilikuwa imepangiliwa kuanza rasmi mida ya saa 9(15h),ila ilichelewa hadi kuanza mida ya saa 10 jioni.Watu wali itika kwa wingi,ilikuwa ni bonge la funiko kwa kweli,pembe zote 4 za uwanja wa mpira tarafani KINAMA zilijaa watu huku wakichungwa na gwaride ndefu ya askari polisi.Kama mnavyo fahamu KINAMA ni moja katika tarafa ambayo ilikumbwa na jangwa la vita miaka nenda rudi;ila kwa sasa ni full amani,watu waliwo udhuriya kwenye tamasha hiyo tukizungumziya kwa ujumla waimbaji wa kale kama BAHAGA Prosper,Léonce NGABO,Bruno Simbavimbere ambaye aongoza (A.M.B),Aaron TUNGA,John Chris,Kidum,Nasubiri,Msumari,Femi de Jabat,Cedric Bangy,Maisha Moustafa,Diane KANYAMUNEZA a.k.a Ladydy ambaye kipindi kirefu huwa afanyiya kazi zake za mziki nchini Swaziland ila huwa anatengenezeya nyimbo zake Msumbiji,Linnah Blanche… Waimbaji wakizazi kipya kama:Steven Sogo,Kaka Boney,Rallye Joe,Riziki,Aziza,Mkombozi,Fabrice Birori,Chanqueen,Bamso,R Flow,Weezy bro,Olga lorie nawengineo wengi ambao hawakupata nafasi yakuimba kwenye stage (ku parfoam).