Baada ya kutowa filamu yao ya "maisha kama game", kundi hilo likiongozwa na "halidi" na "smart " a.k.a MC, chini ya director wao " Didier" akijulikana kama "Sugu Jay ", kundi hilo la "Buja art" limetowa ingine filamu ikijulikana kama " kisa demu" ambaye msanii " sugu jay" ndiye actor kwa mara nyingine tena. Filamu hiyo ambayo inapangiliwa kutolewa siku zijazo, iko inatengenezwa apo " kaka joe's pictures" na producer " kaka Joe". Siku zifwatazo, tutawaonyesha ma pictures ambayo tumechukua wakati wakiwa wakifanya iyo filamu.
Idem pour www.tishiocmm.unblog.fr
Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire