jeudi 11 novembre 2010

Kundi la Buja art limetowa ingine filamu.

Baada ya kutowa filamu yao ya "maisha kama game", kundi hilo likiongozwa na "halidi" na "smart " a.k.a MC, chini ya director wao " Didier" akijulikana kama "Sugu Jay ", kundi hilo la "Buja art" limetowa ingine filamu ikijulikana kama " kisa demu" ambaye msanii " sugu jay" ndiye actor kwa mara nyingine tena. Filamu hiyo ambayo inapangiliwa kutolewa siku zijazo, iko inatengenezwa apo " kaka joe's pictures" na producer " kaka Joe". Siku zifwatazo, tutawaonyesha ma pictures ambayo tumechukua wakati  wakiwa wakifanya iyo filamu.

Idem pour www.tishiocmm.unblog.fr

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire