lundi 15 août 2011
Generencha Bidondo atimiza miezi 4 na siku 10 gerezani mpimba…
Kama tulivyo wafahamisha kipindi cha nyuma,mwanamuziki wamitindo yakipekee na mcheshi sana GENERENCHA Bidondo,siku zanyuma alikuwa kisha anza tayari kupiga live kwenye bar”IWABO N’ABANTU”,ambaye alikamatwa na kupelekwa gerezani B.S.R ilikuwa tarehe 5/5/2011,nakupelekwa gereza kuu la Mpimba wiki moja baadae hapo ilikuwa tarehe 14/5/2011,leo hii ametimiza miezi 4 na siku 10 Mpimba bila kusamba ili ajuwe kipi kinacho endeleya.Nijambo lakushangaza sana kwa mwanamuziki huyu kuona amefanya wema alafu nyuma unakuja kumponzwa nakusaliya Mpimba bila hatiya yeyote.Kipindi cha nyuma tulipo mtembeleya gerezani alitwambiya:”Kwa kweli sijuwi nikwambiye nini,yani wema wangu ndiwo unaniponza,mimi nilijuwa namsaidiya fan wangu ila wazazi wake wamechukuliya vingine.”,fahamu tu kwamba kesi anayo shtumiwa nikwamba ali eshi namwanadada ajulikanaye kwa jina la Bigirimana Ella siku 10 bila wazazi kujuwa wapi alipo.Binafsi tulipo mu uliza alikanusha nakusema kwamba:”Alikuwa ni mmoja kwa wapenzi wa mziki nakao ufanya,siku moja alipigwa na baba yake,akapita anatoroka kwao.Maskini ya mungu nikawa nimemuoneya uruma nikawa nimemuombeya hifadhi kwa jirani yangu kwani nilikuwa sina uwezo wowote wakuishi naye nikiwa na mkee wangu ndani.Baada ya hapo ndipo mama yake alipo rejeya nikawa nimemrudisha kumuombeya msama kuwazazi wake,siku hiyo ilikuwa ni tarehe 5/5 ndipo niliona jopu ya askari polisi wakiwa na karatasi yakuonyesha kwamba niko chini ya ulinzi ndipo nilipita napelekwa gereza ndogo la BSR,wiki 1 baadae nikawa nimepelekwa Mpimba”.”Naumiya sana kuona mwanamke kila alipokuwa akitaka kuzungumza ukweli kwamba hapakuwa uhusiano mimi naye kimapenzi alikuwa akipigwa na wazazi wake.Ninacho kiomba nikwamba wangenipa mda wakusamba kwani nasaliya jela namimi sina hatiya yeyote,inabidi sheriya ifate mkondo wake.”alisema Bidondo…
Inscription à :
Publier les commentaires (Atom)
Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire