mardi 12 octobre 2010

Mapozi iko wapi?

Pimetambaa mjini pote watu wakisema kuwa msanii Elvis Mapozi toka kundi la Buja Unit, ambaye anaonekana kupitiya picha hiyo kusoto akiwa na msani Big Fizzo, kuwa amepelekwa jela, eti kisa nini, hadi sasa atujajuwa. iyo habari tutaendeleya kuitafuta. tujuwe kama ambayo watu wanasema ni kweli.

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire