samedi 13 novembre 2010
"Umubano", album mpya ya Giterolax
Baada ya kuwazungumueiya abum " inkuru y'ukuri" ya Sat B" ambayo imezinduliwa siku zilizopita, kwa sasa wasani wa Burundi wanakuja kwa speed kali. Msani "Giterolax" ambaye anajulikana ,ila so sana, kupitiya nyimbo zake kadha, na zingine ameshiriki na wasani tofauti, anakuja na album yake mpya ikijulikana kama "umubano", ambayo ametumikiya "kim franc studio" apo kibenga chini ya producer "Henrique".
Inscription à :
Publier les commentaires (Atom)


Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire