lundi 15 août 2011

Fizzo anarudi France

Baada ya siku kadha alizofanya uko nchini Sweden, msani wa Burundi MUGANI Désiré wengi wanamujuwa kama Big Fariouz oa Burundiano amemaliza likizo yake, kwa sasa atajielekeza nchini France ambapo anaishi. Kwa washabiki wake wa Burundi, mumusuburi december atakua ameingiya BJ.

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire