kimya kingi kinasababu. siku zilizopita, msanii Mr Happy ameonekana anazimika kabisa baada ya kutowa wimbo "baby" aloshirikisha Jay Fire. Kwa sasa bonge ya video inaonekana mitahani; kila mwenye kuona anakubali. na video yenyewe ni " My dear". Na ametowa ingine wimbo ambaye ameshirikisha msani toka DSM, Mr Blu na msani wa apa R Flo.
Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire