"je, nani ataheshimu kazi zao wakati wao wenyewe hawajiheshimishi? Je, ivi wasani wanajua nini chakufanya ili mziki wanao ufanya uheshimiwe? kama nasema ivo, nina sababu."
Ayo ni maneno ambayo shabiki mmoja wa muziki huu wa kizazi kipya Burundi amesema baada ya kumuona msani Timoteo anajulikana kama T Max akikaa iko anakuliya chini ya muti barabarani, ilikuwa ijuma pili tarehe 30 August 2010, mtaa mmoja wa Bujumbura ujulikanao kama Kamenge, barabara ya 3. Japo amejitaidi kujificha, star ni star anapaswa kuonekana. Ayo yote yanafika wakati akijiandaliya show kubwa sana siku ya Idil Fitri ambayo inasubiriwa na watu wengi sana, show hiyo atakwepo Chid Benz.


Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire