samedi 13 novembre 2010
"Umubano", album mpya ya Giterolax
Baada ya kuwazungumueiya abum " inkuru y'ukuri" ya Sat B" ambayo imezinduliwa siku zilizopita, kwa sasa wasani wa Burundi wanakuja kwa speed kali. Msani "Giterolax" ambaye anajulikana ,ila so sana, kupitiya nyimbo zake kadha, na zingine ameshiriki na wasani tofauti, anakuja na album yake mpya ikijulikana kama "umubano", ambayo ametumikiya "kim franc studio" apo kibenga chini ya producer "Henrique".
jeudi 11 novembre 2010
Mkombozi, tayari yuko burundi.
Baada ya siku nyingi amefanya uko nchini Tanzaniya, msani Thomas akijulikana kama "Mkombozi" amerudi apa nchini ambapo amekuja na zawadi kwa washabiki wake. zawadi yenyewe ni bonge la nyimbo ambayo ametumika na msani kutoka uko DSM akijulikana kama "Alikiba", nyimbo hiyo ikijulikana kama "East african Queen", naamini watu ambao wameshiriki ku show ya uzinduzi wa album ya "Sat B" wamepata fulsa ya kuisikia. sasa msani huyo, ametayarisha show apo "Gitega" week-end hii, akishirikiyana na msani Allan kutoka kigali-Rwanda. Inasemekana kuwa msani huo "Mkombozi" anaweza rudi uko tanzaniya.
Idem pour www.tishiocmm.unblog.fr
Idem pour www.tishiocmm.unblog.fr
Kundi la Buja art limetowa ingine filamu.
Baada ya kutowa filamu yao ya "maisha kama game", kundi hilo likiongozwa na "halidi" na "smart " a.k.a MC, chini ya director wao " Didier" akijulikana kama "Sugu Jay ", kundi hilo la "Buja art" limetowa ingine filamu ikijulikana kama " kisa demu" ambaye msanii " sugu jay" ndiye actor kwa mara nyingine tena. Filamu hiyo ambayo inapangiliwa kutolewa siku zijazo, iko inatengenezwa apo " kaka joe's pictures" na producer " kaka Joe". Siku zifwatazo, tutawaonyesha ma pictures ambayo tumechukua wakati wakiwa wakifanya iyo filamu.
Idem pour www.tishiocmm.unblog.fr
Idem pour www.tishiocmm.unblog.fr
Album ya Sat B imechukuliwa aje na washabiki?
Tumekuwa tukiwajulisha kuwa msani Sat B ambaye siku zilizopita ametamba kupita ma radio yote kwa album yake ikijulikana kama "inkuru y'ukuri". Album hiyo washabiki wameichukuliya vizuri, ikiandaliwa na nyimbo kali sana. Ila tatizo kubwa imekuwa siku hiyo ya uzinduzi. Show ambayo imekuwa ikisubiriwa na washabiki wengi saa 8, imeanza saa 12. Hadi leo atujuwi tatizo nini? na msani mwenyewe Sat B ambaye watu wamekuwa wakimusubiri kwa wingi ameimba nyimbo chache. siku zakufata tutawajulisha soko ya iyo album jinsi washabiki wanaiona.
Idem pour www.tishiocmm.unblog.fr
Idem pour www.tishiocmm.unblog.fr
Ujio mpya wa " Rick Dog"
Baada ya siku nyingi hasikiki apa bujumbura, msani Rick Dogg ambaye anatambulika apa kupitiya collabo nyingi, na akitambulika vema toka apo mbele akiwa kwenye kundi la Black is Black. kwa sasa ametangaza kuwa amekuja kwa ujio mpya, inasemekana kuwa iko ana record nyimbo mpya katika studio moja ya apa BJ
Idem pour www.tishiocmm.unblog.fr
Idem pour www.tishiocmm.unblog.fr
Inscription à :
Articles (Atom)