jeudi 11 novembre 2010

Album ya Sat B imechukuliwa aje na washabiki?

Tumekuwa tukiwajulisha kuwa msani Sat B ambaye siku zilizopita ametamba kupita ma radio yote kwa album yake ikijulikana kama "inkuru y'ukuri". Album hiyo washabiki wameichukuliya vizuri, ikiandaliwa na nyimbo kali sana. Ila tatizo kubwa imekuwa siku hiyo ya uzinduzi. Show ambayo imekuwa ikisubiriwa na washabiki wengi saa 8, imeanza saa 12. Hadi leo atujuwi tatizo nini? na msani mwenyewe Sat B ambaye watu wamekuwa wakimusubiri kwa wingi ameimba nyimbo chache. siku zakufata tutawajulisha soko ya iyo album jinsi washabiki wanaiona.

Idem pour www.tishiocmm.unblog.fr

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire