jeudi 11 novembre 2010

Ujio mpya wa " Rick Dog"

Baada ya siku nyingi hasikiki apa bujumbura, msani Rick Dogg ambaye anatambulika apa kupitiya collabo nyingi, na akitambulika vema toka apo mbele akiwa kwenye kundi la Black is Black. kwa sasa ametangaza kuwa amekuja kwa ujio mpya, inasemekana kuwa iko ana record nyimbo mpya katika studio moja ya apa BJ

Idem pour www.tishiocmm.unblog.fr

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire