vendredi 22 juillet 2011

Ushirikiano kati ya makundi ya filamu

Imekuwa tarehe 7 mwezi huu, apo ndipo wa memba wa kundi la wacheza filamu wa " Buja Art" likiongozwa na NDUWIMANA Didier wengi wanamutambuwa kama Sugu Jay, walienda kutembeleya wenzao wa kundi la "Spot Light Movies Company" ambao wanafanyiziya mazowezi apo Cibitoke barabara ya 7 namba 80. Iyo inaonekana jinsi gani makundi ya filamu Burundi yanashirikiyana kwa sana.

Tuwakumbushe kuwa kundi la "Buja Art" linatambulika vema kupitiya filamu yao " Maisha kama game" na kundi la " SLMC" linatambulika kupitiya filamu yao " Suzane".

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire