Imekuwa tarehe 7 mwezi huu, apo ndipo wa memba wa kundi la wacheza filamu wa " Buja Art" likiongozwa na NDUWIMANA Didier wengi wanamutambuwa kama Sugu Jay, walienda kutembeleya wenzao wa kundi la "Spot Light Movies Company" ambao wanafanyiziya mazowezi apo Cibitoke barabara ya 7 namba 80. Iyo inaonekana jinsi gani makundi ya filamu Burundi yanashirikiyana kwa sana.
Tuwakumbushe kuwa kundi la "Buja Art" linatambulika vema kupitiya filamu yao " Maisha kama game" na kundi la " SLMC" linatambulika kupitiya filamu yao " Suzane".
Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire