Ambayo tumekuwa tunasubiri kwasana, sasa yametokeya. Kundi " Buja Art" apo mbele limekuwa likiitwa " Uhuru Star" limetowa bonga la filamu ijulikanayo kama " LIFE LIKE A GAME" ( maisha kama game). Katika filamu hiyo wanaongelea jinsi maisha yanaweza badilika. tunamukuta ndani wasani waimbaji kama Sugu Jay , Black G wa mu wakali power na wengine.
Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire