dimanche 19 septembre 2010

Bonge la filamu ndani ya Burundi

Ambayo tumekuwa tunasubiri kwasana, sasa yametokeya. Kundi " Buja Art" apo mbele limekuwa likiitwa " Uhuru Star" limetowa bonga la filamu ijulikanayo kama " LIFE LIKE A GAME" ( maisha kama game). Katika filamu hiyo wanaongelea jinsi maisha yanaweza badilika. tunamukuta ndani wasani waimbaji kama Sugu Jay , Black G wa mu wakali power na wengine.

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire