dimanche 29 août 2010
"GRACE" filamuy mpya ya kundi " shauri la vijana"
"SHAURI LA VIJANA" ni kundi la waigizaji wa filamu lililotambaa katika TV na mchezo kama "Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni", "alaumiwe nani", na michezo ya rediyoni kama "Déjà", "Mr Misifa",kwenye RSF Bonesha FM, mnazo myezi ilopita waliwachiya filamu yao inayobeba jina la " Grace", inayompangiliyo wakuzinduwa numba 2 ya Grace. Ndani ya iyo filamu utakuta wasani kama Mbale, Alex, TY , Grace
Filamu "AHADI" ya kundi "Vision"
"Vision" ni kundi la waigizaji wa filamu ambao walitambulika kwa filamu yao ya "Mugisha", ivi karibuni wamezinduwa filamu yao ya kwa lugha ya kiswahili inayotambulika kama "AHADI".
Mkombozi anafanya nini Tanzania?
Msani Thomas "Mkombozi" aliye pata sifa ku kibao cake "zawadi ya mwaka", na aoshiriki katika bonge ya colabo " musigwa musangwa" ya Uncle crazy na Fizzo na wasani kama T Max, Dog B, Paci, Romeo, na Willy, iko Tanzaniya.
Anasema kwamba, uko alipo, yuko na mpango wakutengeneza colabo na wasani kama Lady Jay Dee, Diamond, Bella9 wa Tanzania. Tunamtakiya la heri, hio ni njia moja wapo yakutangaza mziki wa Burundi.
Anasema kwamba, uko alipo, yuko na mpango wakutengeneza colabo na wasani kama Lady Jay Dee, Diamond, Bella9 wa Tanzania. Tunamtakiya la heri, hio ni njia moja wapo yakutangaza mziki wa Burundi.
Lolilo anaweza rejeya Burundi
Kuna tetesi mjini kuwa msani Lolilo , msani aliyetamba Burundi kwa nyimbo kama Saga plage, bime amatwi, demu kicheche alishirikisha TMK wanaume family, maisha alishirikisha Prof Jay,....kuwa anaweza rejeya Burundi baada ya mda murefu kuishi Belgique.
Wamoja wanasema anakuja kuishi uku, wengine eti anakuja kuandaa show awafurahishe mashabiki wake, wengine wanasema maisha ya kambini yamemushinda. Basi, habari hii itaendelea inacunguzwa...
Wamoja wanasema anakuja kuishi uku, wengine eti anakuja kuandaa show awafurahishe mashabiki wake, wengine wanasema maisha ya kambini yamemushinda. Basi, habari hii itaendelea inacunguzwa...
Sugu Jay; video ya " first love"
Msani Sugu Jay Tishio a.k.a Obama ambaye anatamba na album yake ya "maisha kama game" iloshirikisha wasani kama Dr Claude( Amidah) , Big Fizzo ( Kisa demu), Channella ( Kisa demu party 2), Emùino ( ndabatasha), kwa sasa ana mpango wakufanya video ya kibao cake kipya " FIRST LOVE " munamo mwanzoni December. Kibao ico alico record katika studio ya celebrite music ya Rwanda cini ya producer Jimmy
je; album ya wanajeshi iko wapi?
Wanajeshi kamili ni kundi la wamuziki linatambulika sana kupitiya nyimbo zawo kama one "day"; "karata tatu"; "tunawakamua"; "kama mbaya."............ na zingine nyingi.
katika iyo kundi tunakuta wasani kama Big Fizzo; T Max; Francky, Mac Daddy na Moe king.
Siku zilizo pita; bila general wao Big Fizzo na kabla msani Moe King kuingiya katika kundi ilo; wanajeshi kamili wakiongozwa na T Max walitowa album ambayo imebeba jina la " UWEZO WETU" katika studio Alpha Record chini ya producer Herry. Ndani ya iyo album; tunakuta wimbo kama " uwezo wetu" alishiriki ndani Jay Fire; "wakali wa vina" alishiriki ndani Chanella; "tunasonga; "Tutafanya"; na zingine.
Watu wanajiuliza; je iyo album iko wapi?
Tutaendelea kuchunguza iyo habari. Ila tuwakumbushe kuwa mashahiri ya T Max katika wimbo " Wakali wa vina" ndio yamebeba wimbo waka mpya inatambulika kama " Wanajiuliza"; na mashahiri ya Mac Daddy mwa iyo nyimbo ndio yanarudi katika wimbo " Tunawakamua". Atujui sasa kama ndo Remix wamefanya ao labda wameamua tu kuificha ki ivo.
katika iyo kundi tunakuta wasani kama Big Fizzo; T Max; Francky, Mac Daddy na Moe king.
Siku zilizo pita; bila general wao Big Fizzo na kabla msani Moe King kuingiya katika kundi ilo; wanajeshi kamili wakiongozwa na T Max walitowa album ambayo imebeba jina la " UWEZO WETU" katika studio Alpha Record chini ya producer Herry. Ndani ya iyo album; tunakuta wimbo kama " uwezo wetu" alishiriki ndani Jay Fire; "wakali wa vina" alishiriki ndani Chanella; "tunasonga; "Tutafanya"; na zingine.
Watu wanajiuliza; je iyo album iko wapi?
Tutaendelea kuchunguza iyo habari. Ila tuwakumbushe kuwa mashahiri ya T Max katika wimbo " Wakali wa vina" ndio yamebeba wimbo waka mpya inatambulika kama " Wanajiuliza"; na mashahiri ya Mac Daddy mwa iyo nyimbo ndio yanarudi katika wimbo " Tunawakamua". Atujui sasa kama ndo Remix wamefanya ao labda wameamua tu kuificha ki ivo.
Inscription à :
Articles (Atom)