dimanche 29 août 2010

"GRACE" filamuy mpya ya kundi " shauri la vijana"

"SHAURI LA VIJANA" ni kundi la waigizaji wa filamu lililotambaa katika TV na mchezo kama "Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni", "alaumiwe nani", na michezo ya rediyoni kama "Déjà", "Mr Misifa",kwenye RSF Bonesha FM, mnazo myezi ilopita waliwachiya filamu yao inayobeba jina la " Grace", inayompangiliyo wakuzinduwa numba 2 ya Grace. Ndani ya iyo filamu utakuta wasani kama Mbale, Alex, TY , Grace

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire