Msani Thomas "Mkombozi" aliye pata sifa ku kibao cake "zawadi ya mwaka", na aoshiriki katika bonge ya colabo " musigwa musangwa" ya Uncle crazy na Fizzo na wasani kama T Max, Dog B, Paci, Romeo, na Willy, iko Tanzaniya.
Anasema kwamba, uko alipo, yuko na mpango wakutengeneza colabo na wasani kama Lady Jay Dee, Diamond, Bella9 wa Tanzania. Tunamtakiya la heri, hio ni njia moja wapo yakutangaza mziki wa Burundi.
Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire