mercredi 13 octobre 2010
Album ya “Sat b” sasa imekwisha
Baada ya kufanya vizuri kupitiya mziki huu wa buja flava kupitiya nyimbo zake nyingi, na collabo nyingi sana na wasani tofauti, msani Sat B amemaliza tengeneza album yake imebeba jina la ” inkuru y'ukuri”, ambayo imetengenezwa na MA Production chini ya producer Amir ambaye yeye ndio amemusaidiya. Album hiyo inabeba nyimbo 12 ambayo itazinduliwa rasmi tarehe 31 october 2010 . Amesema kuwa msani FABRICE BIRORI ambaye jina lake halijatambulika vema katika mziki huu ndiye amemusaidiya kuandaa mistari mpaka akamaliza album hiyo. Tunawakumbusha kuwa producer huyo Amir ndiye amefanya wasani wengi hapa Burundi wakubalike, tunaweza taja kama YOYA, CHANELLA, WAKALI POWER, na wengine, apo ni wakati amekuwa akitumika "Big Some studio". Na nyuma ya iyo album ya Sat B, amesema atasaidiya wasani wengi kama Jay Fire, Emery sun, na wengine kutowa album.
Inscription à :
Publier les commentaires (Atom)
Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire