vendredi 3 décembre 2010

hip hop Burundi imelala

Siku zilizopita, tumekuwa tukizoweya kuwa wasani wa hip hop wakitamba zaidi, ila sasa ni tofauti. atujuwi labda wako wanatayarisha nini, ila ukweli ni kuwa hip hop burundi imelala. Kwa sasa, inasemekana msani T Max iko anatengeneza wimbo mpya apo studio ya kamenge, Sugu Jay naye akiendeleya kutengeneza filamu yao ikijulikana kama " kisa demu", sasa wengine wako wapi? Ziku zifwatazo, tutajitaidi kuongeya na wasani wamoja ili tujuwe wanatayarisha nini, haswa siku hizi za mwisho wa mwaka.

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire