vendredi 3 septembre 2010

kwa mara ya kwanza, Chid Benz in Burundi

Rachid a.k.a Chid Benz ni msani wa kizazi kipya Tanzania ambaye anatambulika sana apa Burundi kupitiya collabop nyingi amefanya na wasani tofauti wa Bongo flava. Tunaweza sema kama neila na Tundaman toka tip top connection, usiniache na Spark ambaye siku zilizopita amejiondoa mu tip top, bado unauna na Marlaw, wewe na Angie, so far away na alikiba, hapo vipi rmx na prof jay, mchizi wangu na nako2nako, naposimama na langa ...... na zingine nyingi sana amefanya pekee na akashirikisha wengine wasani kama po poh pisha, ngoma itambae, hasira za nini na alikiba, beibi na ray C, utanioneya na dully sykes.............
Msani huyo anajiandaa kuja Burundi kuwafurahisha mashibiki wake siku iyo ya Idil Fitri.
Katika show hiyo, pitakuepo wasani wa apa Burundi kama Wanajeshi kamili, The cousin, Top buja ya Mr Happy. Basi iyo ni fulsa nzuri kwa wasani wa Burundi kushirikisha msani huyo, ambaye kila wimbo ameshiriki emo imetamba ki kweli, na ni fulsa kwa wapenzi wa muziki haswa wa Hip Hop kufurahi kupitiya bonge hiyo ya show.

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire