mercredi 13 octobre 2010
Album ya “Sat b” sasa imekwisha
Baada ya kufanya vizuri kupitiya mziki huu wa buja flava kupitiya nyimbo zake nyingi, na collabo nyingi sana na wasani tofauti, msani Sat B amemaliza tengeneza album yake imebeba jina la ” inkuru y'ukuri”, ambayo imetengenezwa na MA Production chini ya producer Amir ambaye yeye ndio amemusaidiya. Album hiyo inabeba nyimbo 12 ambayo itazinduliwa rasmi tarehe 31 october 2010 . Amesema kuwa msani FABRICE BIRORI ambaye jina lake halijatambulika vema katika mziki huu ndiye amemusaidiya kuandaa mistari mpaka akamaliza album hiyo. Tunawakumbusha kuwa producer huyo Amir ndiye amefanya wasani wengi hapa Burundi wakubalike, tunaweza taja kama YOYA, CHANELLA, WAKALI POWER, na wengine, apo ni wakati amekuwa akitumika "Big Some studio". Na nyuma ya iyo album ya Sat B, amesema atasaidiya wasani wengi kama Jay Fire, Emery sun, na wengine kutowa album.
mardi 12 octobre 2010
Mapozi iko wapi?
Pimetambaa mjini pote watu wakisema kuwa msanii Elvis Mapozi toka kundi la Buja Unit, ambaye anaonekana kupitiya picha hiyo kusoto akiwa na msani Big Fizzo, kuwa amepelekwa jela, eti kisa nini, hadi sasa atujajuwa. iyo habari tutaendeleya kuitafuta. tujuwe kama ambayo watu wanasema ni kweli.
mercredi 6 octobre 2010
wako wapi? (2)
siku zilizopipita tumewaongeleya kuusu msani NJ ambaye amewahi kutamba apa inchini Burundi pote kupitiya wimbo wake " utujede", ila kwa sasa asikiki kabisa.
Kwa leo tungependa tuongeleye kuusu msani " Pippen" ambaye amewahi kutambulika sana akiwa mu kundi " Black is Black". Baada tu kundi hilo kutosikika kipindi fulani, ambapo imeonekana waliokuwa wakiunga kundi hilo la " black is black" wamekuwa mu kundi lingine lijulikanalo kama " ?g" yani " Question G", basi msanii huo "pippen" ambaye amekuwa na kipaji cha kufoka ama ku rap hadi leo ajasikika tena, basi atujuwi kama labda akaacha mziki atujuwi, ila ambacho tunajuwa ni kuwa anafanya siku nyingi asikiki.
Kwa leo tungependa tuongeleye kuusu msani " Pippen" ambaye amewahi kutambulika sana akiwa mu kundi " Black is Black". Baada tu kundi hilo kutosikika kipindi fulani, ambapo imeonekana waliokuwa wakiunga kundi hilo la " black is black" wamekuwa mu kundi lingine lijulikanalo kama " ?g" yani " Question G", basi msanii huo "pippen" ambaye amekuwa na kipaji cha kufoka ama ku rap hadi leo ajasikika tena, basi atujuwi kama labda akaacha mziki atujuwi, ila ambacho tunajuwa ni kuwa anafanya siku nyingi asikiki.
mardi 5 octobre 2010
Sugu jay ndani ya Radio Culture
Bado ajamaliza. msani Sugu Jay Tishio anaendeleya kutangaza filamu yao "maisha kama game". Baada ya kufanya vipindi hii leo kwenye radio Remaa Fm saa 2 mchana, na Radio ya taifa saa 9 mchana, msani Sugu Jay amesikika piya leo tarehe 5/10/2010 radio utamaduni (radio culture) kupitiya kipindi " burundi flava" chini ya mtangazaji " Amidou Hassan", akiwa pamoja na Smart na Halidi, kutokeya kundi hilo la "buja art" mbele imekuwa ikijulikana kama " uhuru star". Kupitiya icho kipindi, imeonekana mashabiki wana hamu ya kuona filamu hiyo, ambayo publicity ishaanza kuonekana kupitiya ata ma sim ambayo yako na bluetooth. Basi kundi hilo limeakikisha kuwa baada ya siku 20 watajuwa jinsi filamu iyo itauzwa.
Idem pour http://www.tishiocmm.unblog.fr/
Idem pour http://www.tishiocmm.unblog.fr/
Filamu ya maisha kama game yaendeleya kutangazwa
Baada ya vipindi aliyofanya kupitiya radio tafauti kama Isanganiro, RPA na Bonesha FM, msani Sugu Jay ametembeleya leo tarehe 5/10/2010 radio inatambulika sana kama Remaa FM kupitiya kipindi " nani mwanamziki" chini ya mtangazaji " dj shanny". kupitiya ico kipindi , ameongeleya kwa mara nyingine kuusu filamu yao ya "maisha kama game" piya kuusu mziki. kama alivosema kupitiya mengine ma radio, filamu hiyo tayari imeisha tengenezwa piya na michezo ya kupiga vita ukimwi, ijulikanayo kama "hodi hodi", kwa sasa kinachobaki nikuangaliya jinsi ya kuuza filamu hiyo. Tuwakumbushe kwamba amekuwa pamoja na ungine muigizaji wa kundi lao la "buja art"
Ilipofika saa tisa kamili, msanii Sugu Jay amejielekeza piya radio ya taifa, ambapo amesikika kupitiya kipindi "nyota ya msani" chini ya mtangazaji " ali bilali". kupitiya kipindi icho, ambapo amekuwa pamoja na msani Mr Happy, wameonyesha jinsi msani anaweza pata kitu fulani kupitiya sana yake bila kutumiya dawa, kama anaamini kuwa iko na kipaji. Kupitiya icho kipindi, msani Sugu Jay amepata piya fulsa ya kuongeleya filamu yao ya "maisha kama game" na mziki wake "first love", Mr Happy naye amepata fulsa yakuongeleya nyimbo yake mpya "shamila" ameshirikisha msani toka DSM "Mr blu"
Idem pour http://www.tishiocmm.unblog.fr/
Ilipofika saa tisa kamili, msanii Sugu Jay amejielekeza piya radio ya taifa, ambapo amesikika kupitiya kipindi "nyota ya msani" chini ya mtangazaji " ali bilali". kupitiya kipindi icho, ambapo amekuwa pamoja na msani Mr Happy, wameonyesha jinsi msani anaweza pata kitu fulani kupitiya sana yake bila kutumiya dawa, kama anaamini kuwa iko na kipaji. Kupitiya icho kipindi, msani Sugu Jay amepata piya fulsa ya kuongeleya filamu yao ya "maisha kama game" na mziki wake "first love", Mr Happy naye amepata fulsa yakuongeleya nyimbo yake mpya "shamila" ameshirikisha msani toka DSM "Mr blu"
Idem pour http://www.tishiocmm.unblog.fr/
Sugu Jay ndani ya RSF Bonesha FM
"vijana wa burundi wanaweza ila wanakosa wakuwawezesha", ayo ndio maneno ambayo msani Sugu Jay ameongeleya kwenye radio "Bonesha FM" kupitiya kipindi " mwanamziki" chini ya mtangazaji Kalusha Ramadhani , akiwa anaongeleya kuusu filamu yao mpya ya "maisha kama game" akiwa pamoja na MC a.k.a Smart kutoka kundi lao la "buja art". kitu ambacho kinapendeza mwa iyo filamu, ni kuwa kila muigizaji amejivika uusika.Bado Sugu jay ajaacha mziki sababu ni kipaji chake , na ndo maana pamechezwa wimbo wake mpya wa "first love" kama zawadi kwa washabiki wake.
Tuwakumbushe kuwa ijuma tarehe 1, amekuwa radio Isanganiro
Idem pour http://www.tishiocmm.unblog.fr/
Tuwakumbushe kuwa ijuma tarehe 1, amekuwa radio Isanganiro
Idem pour http://www.tishiocmm.unblog.fr/
samedi 2 octobre 2010
filamu "maisha kama game" yaanza kutangazwa.
Leo tarehe 02 october 2010 saa tisa kamili kwenye radio ya uma ( RPA) kupitiya kipindi TOP ARTIST chini ya mtangazaji ambaye anajulikana sana apa burundi Adidja Hassan wengi wanamujuwa kama DJ Honney, ndipo msani Sugu Jay alikuwa akiongeleya kuusu filamu hiyo. Amekuwa pamoja piya na mchezaji wa kundi lao " buja art" ajulikanaye kama MC a.k.a Smart. wameonesha umuhimu wa filamu burundi, na kitu ambacho msani anaweza saidiya jamii kupitiya mziki ao filamu na ndio maana wametowa na michezo iitwayo " HODI HODI" ya kuusu ukimwi. Aliakikisha kuwa nyuma ya iyo filamu ya "maisha kama game" pitafwata ingine filamu iitwayo "kisa demu". Tuwakumbushe kuwa amekuwa amepeleka piya wimbo wake mpya " first love" kwa kuonesha kuwa bado ajaacha mziki.
Idem pour http://www.tishiocmm.unblog.fr/
Idem pour http://www.tishiocmm.unblog.fr/
Inscription à :
Articles (Atom)