"vijana wa burundi wanaweza ila wanakosa wakuwawezesha", ayo ndio maneno ambayo msani Sugu Jay ameongeleya kwenye radio "Bonesha FM" kupitiya kipindi " mwanamziki" chini ya mtangazaji Kalusha Ramadhani , akiwa anaongeleya kuusu filamu yao mpya ya "maisha kama game" akiwa pamoja na MC a.k.a Smart kutoka kundi lao la "buja art". kitu ambacho kinapendeza mwa iyo filamu, ni kuwa kila muigizaji amejivika uusika.Bado Sugu jay ajaacha mziki sababu ni kipaji chake , na ndo maana pamechezwa wimbo wake mpya wa "first love" kama zawadi kwa washabiki wake.
Tuwakumbushe kuwa ijuma tarehe 1, amekuwa radio Isanganiro
Idem pour http://www.tishiocmm.unblog.fr/
Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire