Leo tarehe 02 october 2010 saa tisa kamili kwenye radio ya uma ( RPA) kupitiya kipindi TOP ARTIST chini ya mtangazaji ambaye anajulikana sana apa burundi Adidja Hassan wengi wanamujuwa kama DJ Honney, ndipo msani Sugu Jay alikuwa akiongeleya kuusu filamu hiyo. Amekuwa pamoja piya na mchezaji wa kundi lao " buja art" ajulikanaye kama MC a.k.a Smart. wameonesha umuhimu wa filamu burundi, na kitu ambacho msani anaweza saidiya jamii kupitiya mziki ao filamu na ndio maana wametowa na michezo iitwayo " HODI HODI" ya kuusu ukimwi. Aliakikisha kuwa nyuma ya iyo filamu ya "maisha kama game" pitafwata ingine filamu iitwayo "kisa demu". Tuwakumbushe kuwa amekuwa amepeleka piya wimbo wake mpya " first love" kwa kuonesha kuwa bado ajaacha mziki.
Idem pour http://www.tishiocmm.unblog.fr/
Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire