siku zilizopipita tumewaongeleya kuusu msani NJ ambaye amewahi kutamba apa inchini Burundi pote kupitiya wimbo wake " utujede", ila kwa sasa asikiki kabisa.
Kwa leo tungependa tuongeleye kuusu msani " Pippen" ambaye amewahi kutambulika sana akiwa mu kundi " Black is Black". Baada tu kundi hilo kutosikika kipindi fulani, ambapo imeonekana waliokuwa wakiunga kundi hilo la " black is black" wamekuwa mu kundi lingine lijulikanalo kama " ?g" yani " Question G", basi msanii huo "pippen" ambaye amekuwa na kipaji cha kufoka ama ku rap hadi leo ajasikika tena, basi atujuwi kama labda akaacha mziki atujuwi, ila ambacho tunajuwa ni kuwa anafanya siku nyingi asikiki.
Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire