mardi 28 septembre 2010
VIVY, yupo tena Burundi.
Baabla ya siku nyingi aonekani apa inchini Burundi, msani Vivy ambaye anajulikana kupitiya karaoké ata kwa nyimbo zake za zamani ambazo amezirudiriya kama "ngwino ncuti", "kw'iriba ryurukundo" ambapo ameshiriki Fizzo, na wimbo kama " ntarukundo" ambapo ameshiriki TID toka DSM katika kundi lake la TOPBAND,. kwa sasa msani huyo vivi iko apa Burundi ambapo amerikodi album nzima apo Menya Media wengi munapatambua kama Jeremie's production. kwa mashabiki wake, ameandaa concert apa KIBIRA BAR, siku ya ijuma mosi toka saa 4 za usiku mpaka asubui, ambapo atakuwa pamoja na ungine msani msichana anaitwa Linaah toka DSM, piya na msani wa apa SHAZY.
Kwa mara ya kwanza, filamu "maisha kama game inaoneshwa wenye kundi
Imekuwa ijuma mosi tarehe 25 september 2010, mtaa wa buyenzi, ndani ya nyumba moja wapo barabara ya kumi na moja, saa nne kamili , wenye kundi wote wa " buja art" wamekaa pamoja , ndio walianza kuona iyo filamu yao. kwa isiya kali, wamoja wameliya, awakuamini walichokifanya katika filamu iyo, so, naweza kuwaambiya kwamba ni bonge la filamu kabisa, yani mwenye ataiona naamini ataikubali.
jeudi 23 septembre 2010
Clip ya "my dear" inasifika
kimya kingi kinasababu. siku zilizopita, msanii Mr Happy ameonekana anazimika kabisa baada ya kutowa wimbo "baby" aloshirikisha Jay Fire. Kwa sasa bonge ya video inaonekana mitahani; kila mwenye kuona anakubali. na video yenyewe ni " My dear". Na ametowa ingine wimbo ambaye ameshirikisha msani toka DSM, Mr Blu na msani wa apa R Flo.
" First love" lyrics by SUGU Jay
[ Chorus ]
Siwezi penda kuona unaondoka unaniacha mwenyewe
ntakosa raha
Siwezi penda kuona unaondoka unaniacha mwenyewe
Ntakonda maa
My first love
My first love baby My first love
My first love
My first love queen My first love
My first looo, My first looo oh oh
[ verset 1]
Maa mi na we forever
Wazamani wote it over
Usipate uwoga mi ni kama nimerogwa
Mapenzi matamu zaidi ya adamu na eva
Bustani hii sintokula tunda lilokatazwa never
We ni mzuri zaidi ya wote
Mrembo kuliko wote wenye sifa zote
Kama olympic basi wakupe tunzo zote
Oh ceupe nyoosha kidole nikvishe pete
Wanataka nikuache nikutupe wapate wapite
Wakuite kicheche mapepe
No no no no we ni wangu wa siku zote
Baby baby tutakwenda popote
We ni mzuri mwenye penzi la kweli
Siyo kama wale wapanga dume katafiri
Wapangiwa masaa wapishane kama gari
We unanijali njo tuchangiye safari
Tusitupane kati ya bahari
[ Chorus ]
[ verset 2]
Naweza poteza magari ajira nyumba siwezi penda nikukose
No no no no no , be be baby
We ni mzuri wa sura na tabiya
Anaye kuifazi ana mali ya kujivuniya
Mi nina bahati nimempata penzi ambaye siyo msaliti
Mamy you are the first mwengine simtaki
Ah I love so much
Naona wivu ata kaka yako akikutouch
Kama hindi natamani nikuimbiye ata nachi
Kaona pyara hei, kuchikuchi nei
Mwenye kulinda penzi kama mari mar
Baby baby unajuwa mapenzi
Baby baby uajuwa malezi
Baby baby we sio chizi
Apo ndo tayari nimeshafika
Ata waseme mi sintokuacha
Nina asali vipi nilambe shubiri
Nitakuweya shuka mu baridi
Ndoto nzuri zitazo kufariji
Mamy, honey, sweet, mpenzi, chérie
Sijui nikuite nani
[ Chorus ] (x2)
Sikiliza kazi ya CELEBRITE MUSIC
Jimmy, Obama
Kianza wa kwanza
Sheriff
Sikiliza flava
My first love
My first love baby My first love
My first love
My first love queen My first love
My first looo, My first looo oh oh
mardi 21 septembre 2010
Sat B anajianda kutowa album
Nadhani kama kwa sasa mtu awezi ongeleya mziki wa Burundi kama ajaongeleya msani Sat B ambaye siku hizi anaonekana anatamba kwa kweli. Kabla tu yakufanya vizuri na kundi lake la " WANAVESI KIKOSI", ametowa nyimbo nyingi ambazo kila mtu mwenye anapenda mziki huu wa Burundi anakubali. ndani yazo pako kama " ikosa", "nzogend'iwanyu", "ntiwigumure" ambaye amemushirikisha Chanella, na zingine nyingi ameimba peke yake na akashiriki na wasani wakongwe katika huu muziki. kwa sasa inasemekana iko anaanda album katika studio ya MA Production chini ya producer Amir. Tutawaeleza zaidi jinsi siku zitaposogeya.
" kwa nini", album ya Bengo Star
Kuna wasani fulani walipo anza mulizani labda wanataniya, ila jinsi siku zinaposogeya wanaonesha kitu ambacho si cha kawaida. Msani Bengo Star ambaye amewai kutamba na wimbo wake kama " furaha gani" na wimbo wake kama Zena ambaye ameshirikisha wasani kama R Flo na Dog B, yeye na kundi lake la " watulivu people" wanajiandaa kuzindua album yao iitwayo " Kwa nini?". Show hiyo ya uzinduzi ya album yao itakuwa tarehe 26/09/2010, rumonge fasi ambayo wanaita Rukinga. Show hiyo itashirikisha wasani wa Bujumbura kama Black G, Dogg B, Baby Boy na wengine wa uko Rumonge kama MTK, OUTLOUSE Family, JUST FAMILY, na wengine. Ayo yameakikishwa na Bengo Star mwenyewe akisikika kwenye Radio ya taifa katika kipindi " nyota ya msani" na mtangazaji Ally Bilali.
lundi 20 septembre 2010
Wako wapi?
Myaka iliyopita, kuna wasani fulani wametamba kwa nyimbo zao tofauti, ila baada ya myezi midogo tu awakusikika tena. Kila mwezi tutajitaidi kuwawakumbusha. Wacha tuanzie kwa msani NJ.
Msani NJ toka KOBERO wengi munamujuwa kupitiya nyimbo yake UTUJEDE ambayo imetamba kabisa, na wimbo wake kama "NO MONEY NO LIFE" ambapo amemushirikisha DOGO A. Sasa amezimika kabisa. Inasemekana kuwa iko nchini Uganda ambapo anafanya business. So, nikytafuta maisha.
Msani NJ toka KOBERO wengi munamujuwa kupitiya nyimbo yake UTUJEDE ambayo imetamba kabisa, na wimbo wake kama "NO MONEY NO LIFE" ambapo amemushirikisha DOGO A. Sasa amezimika kabisa. Inasemekana kuwa iko nchini Uganda ambapo anafanya business. So, nikytafuta maisha.
dimanche 19 septembre 2010
Bonge la filamu ndani ya Burundi
Ambayo tumekuwa tunasubiri kwasana, sasa yametokeya. Kundi " Buja Art" apo mbele limekuwa likiitwa " Uhuru Star" limetowa bonga la filamu ijulikanayo kama " LIFE LIKE A GAME" ( maisha kama game). Katika filamu hiyo wanaongelea jinsi maisha yanaweza badilika. tunamukuta ndani wasani waimbaji kama Sugu Jay , Black G wa mu wakali power na wengine.
vendredi 3 septembre 2010
je, wasani wa Burundi wanatambua kazi zao?
"je, nani ataheshimu kazi zao wakati wao wenyewe hawajiheshimishi? Je, ivi wasani wanajua nini chakufanya ili mziki wanao ufanya uheshimiwe? kama nasema ivo, nina sababu."
Ayo ni maneno ambayo shabiki mmoja wa muziki huu wa kizazi kipya Burundi amesema baada ya kumuona msani Timoteo anajulikana kama T Max akikaa iko anakuliya chini ya muti barabarani, ilikuwa ijuma pili tarehe 30 August 2010, mtaa mmoja wa Bujumbura ujulikanao kama Kamenge, barabara ya 3. Japo amejitaidi kujificha, star ni star anapaswa kuonekana. Ayo yote yanafika wakati akijiandaliya show kubwa sana siku ya Idil Fitri ambayo inasubiriwa na watu wengi sana, show hiyo atakwepo Chid Benz.
Ayo ni maneno ambayo shabiki mmoja wa muziki huu wa kizazi kipya Burundi amesema baada ya kumuona msani Timoteo anajulikana kama T Max akikaa iko anakuliya chini ya muti barabarani, ilikuwa ijuma pili tarehe 30 August 2010, mtaa mmoja wa Bujumbura ujulikanao kama Kamenge, barabara ya 3. Japo amejitaidi kujificha, star ni star anapaswa kuonekana. Ayo yote yanafika wakati akijiandaliya show kubwa sana siku ya Idil Fitri ambayo inasubiriwa na watu wengi sana, show hiyo atakwepo Chid Benz.
kwa mara ya kwanza, Chid Benz in Burundi
Rachid a.k.a Chid Benz ni msani wa kizazi kipya Tanzania ambaye anatambulika sana apa Burundi kupitiya collabop nyingi amefanya na wasani tofauti wa Bongo flava. Tunaweza sema kama neila na Tundaman toka tip top connection, usiniache na Spark ambaye siku zilizopita amejiondoa mu tip top, bado unauna na Marlaw, wewe na Angie, so far away na alikiba, hapo vipi rmx na prof jay, mchizi wangu na nako2nako, naposimama na langa ...... na zingine nyingi sana amefanya pekee na akashirikisha wengine wasani kama po poh pisha, ngoma itambae, hasira za nini na alikiba, beibi na ray C, utanioneya na dully sykes.............
Msani huyo anajiandaa kuja Burundi kuwafurahisha mashibiki wake siku iyo ya Idil Fitri.
Katika show hiyo, pitakuepo wasani wa apa Burundi kama Wanajeshi kamili, The cousin, Top buja ya Mr Happy. Basi iyo ni fulsa nzuri kwa wasani wa Burundi kushirikisha msani huyo, ambaye kila wimbo ameshiriki emo imetamba ki kweli, na ni fulsa kwa wapenzi wa muziki haswa wa Hip Hop kufurahi kupitiya bonge hiyo ya show.
Msani huyo anajiandaa kuja Burundi kuwafurahisha mashibiki wake siku iyo ya Idil Fitri.
Katika show hiyo, pitakuepo wasani wa apa Burundi kama Wanajeshi kamili, The cousin, Top buja ya Mr Happy. Basi iyo ni fulsa nzuri kwa wasani wa Burundi kushirikisha msani huyo, ambaye kila wimbo ameshiriki emo imetamba ki kweli, na ni fulsa kwa wapenzi wa muziki haswa wa Hip Hop kufurahi kupitiya bonge hiyo ya show.
Inscription à :
Articles (Atom)