mardi 28 septembre 2010
Kwa mara ya kwanza, filamu "maisha kama game inaoneshwa wenye kundi
Imekuwa ijuma mosi tarehe 25 september 2010, mtaa wa buyenzi, ndani ya nyumba moja wapo barabara ya kumi na moja, saa nne kamili , wenye kundi wote wa " buja art" wamekaa pamoja , ndio walianza kuona iyo filamu yao. kwa isiya kali, wamoja wameliya, awakuamini walichokifanya katika filamu iyo, so, naweza kuwaambiya kwamba ni bonge la filamu kabisa, yani mwenye ataiona naamini ataikubali.
Inscription à :
Publier les commentaires (Atom)
Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire