mardi 28 septembre 2010
VIVY, yupo tena Burundi.
Baabla ya siku nyingi aonekani apa inchini Burundi, msani Vivy ambaye anajulikana kupitiya karaoké ata kwa nyimbo zake za zamani ambazo amezirudiriya kama "ngwino ncuti", "kw'iriba ryurukundo" ambapo ameshiriki Fizzo, na wimbo kama " ntarukundo" ambapo ameshiriki TID toka DSM katika kundi lake la TOPBAND,. kwa sasa msani huyo vivi iko apa Burundi ambapo amerikodi album nzima apo Menya Media wengi munapatambua kama Jeremie's production. kwa mashabiki wake, ameandaa concert apa KIBIRA BAR, siku ya ijuma mosi toka saa 4 za usiku mpaka asubui, ambapo atakuwa pamoja na ungine msani msichana anaitwa Linaah toka DSM, piya na msani wa apa SHAZY.
Inscription à :
Publier les commentaires (Atom)
Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire