mardi 21 septembre 2010
" kwa nini", album ya Bengo Star
Kuna wasani fulani walipo anza mulizani labda wanataniya, ila jinsi siku zinaposogeya wanaonesha kitu ambacho si cha kawaida. Msani Bengo Star ambaye amewai kutamba na wimbo wake kama " furaha gani" na wimbo wake kama Zena ambaye ameshirikisha wasani kama R Flo na Dog B, yeye na kundi lake la " watulivu people" wanajiandaa kuzindua album yao iitwayo " Kwa nini?". Show hiyo ya uzinduzi ya album yao itakuwa tarehe 26/09/2010, rumonge fasi ambayo wanaita Rukinga. Show hiyo itashirikisha wasani wa Bujumbura kama Black G, Dogg B, Baby Boy na wengine wa uko Rumonge kama MTK, OUTLOUSE Family, JUST FAMILY, na wengine. Ayo yameakikishwa na Bengo Star mwenyewe akisikika kwenye Radio ya taifa katika kipindi " nyota ya msani" na mtangazaji Ally Bilali.
Inscription à :
Publier les commentaires (Atom)
Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire