mardi 21 septembre 2010

Sat B anajianda kutowa album

Nadhani kama kwa sasa mtu awezi ongeleya mziki wa Burundi kama ajaongeleya msani Sat B ambaye siku hizi anaonekana anatamba kwa kweli. Kabla tu yakufanya vizuri na kundi lake la " WANAVESI KIKOSI", ametowa nyimbo nyingi ambazo kila mtu mwenye anapenda mziki huu wa Burundi anakubali. ndani yazo pako kama " ikosa", "nzogend'iwanyu", "ntiwigumure" ambaye amemushirikisha Chanella, na zingine nyingi ameimba peke yake na akashiriki na wasani wakongwe katika huu muziki. kwa sasa inasemekana iko anaanda album katika studio ya MA Production chini ya producer Amir. Tutawaeleza zaidi jinsi siku zitaposogeya.

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire